Sunday, July 1, 2012

MIE NIKIWA KATIKA KIPINDI CHA MAMBO YA ZENJI LEO

 Hapa unapo niona nilikua nikipitia sms ya msikilizaji wangu wa mambo ya zenji
Na hapo pia nilikua nikipitia sms ambazo zilitumwa kupitia sm yangu ya mkononi

Maranyingi umezoea kunisikia siku ya jumamosi katika Rusharoho Kitchen part kila siku za juma mosi, lakini leo ilikuwa ni suprise kwako kunisikia katika Mambo ya Zenji kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 3 za usiku, 
Nimekupasha ishu ya Mwanahawa ali na mama wa mipasho nchini Tanzania na Malkia wa mipasho Khadija Omari Kopa kuwa jukwaa moja kesho nitakupasha zaidi.
Ashura Machupa kutoka katika kundi la mashauzi classic na kuamua kuimbia zing zong, na nilimuuliza swali katika kipindi cha kitchen part kwanini aliamua kutoka katika bendi hiyo ya Isha,alicho jibu nikwamba maslai ni madogo ndipo akaamua kutoka,lakini mengi zaidi tembelea blog hiii uta pata na pia endelea kusikiliza rusha roho kitchen part kila jumamosi.

No comments:

Post a Comment