Thursday, July 12, 2012

Hapo tulipo ni maeneo ya nyuma ya steji kabla Daimond plet nam hajaanza shoo.
hao ni densaz wa plet nam msafi nikishoo nao kabla hajaoyesha vitu vyao.
Jamanii mtoto nilifurahije na vijanaa adi raha yani ful mafuraha yaniiiii.
Aiseeee ni nomaaaa kijana Sultani kingi mtoto kutoka jupiter jinsi alivyo fanya vituuuz

Hapo kijana daimond plet na msafiiii akitoka jasho baada ya kufanya vitu vya hatarii stejini yani we acha tu
Ni tamasha la kumi na tano la ziff ambalo linaendelea  nchini Zanzibar na limepokelewa vizuri sana na wananchi wa Zanzibar, katika tamasha hilo kijana ambae anafanya vizuri sana hapa nchini Tanzania katika muziki wa bongo fleva ,Daimond plet nam msafiii alipata nafasi ya kuwa burudisha wananchi wa zanzibar na wageni (watalii) kabla ya kwenda stejini Daimondi alipata nafasi ya kufanya mahojiano  coconut fm na mtangazaji wa  run the beat Yoram shoo tano, kikubwa alicho ahidi ni kufanya shoo moja kali sana,na baada ya kutinga katika steji kitu ambacho alikifanya huwezi amni, alifanya shoo moja kali sana alitisha mbayaaaa.
Mbali na Daimond, kijana kutoka zanzibar  Sultani king  alifanya shoo ambayo hakuna mtu aliyetarajia kwa kupafom live.

No comments:

Post a Comment