Friday, September 23, 2011

KAA MKAO WA KULA KUPITIA BRAND NEW BLOG YA MAMBO YA ZENJI

Mie ndio Hamida Maalim pembeni yangu mama wa mitaani bi Aisha Omary ukisikia wale wakali wa mipasho Zanzibar ndio sie watoto wa kike na bahti zetu upo. Sasa yale yote uyasikiayo kupitia kipindi cha Mambo ya Zenji hapa Coconut Fm sasa utayapata humu bila mchujo