Mie ndio Hamida Maalim pembeni yangu mama wa mitaani bi Aisha Omary ukisikia wale wakali wa mipasho Zanzibar ndio sie watoto wa kike na bahti zetu upo. Sasa yale yote uyasikiayo kupitia kipindi cha Mambo ya Zenji hapa Coconut Fm sasa utayapata humu bila mchujo