Thursday, September 6, 2012

MAANDALIZI YA SHOO YA ZANZIBAR STAZI KATIKA UKUMBI WA MAGEREZA ZANZIBAR.

B
Bahati haikua mbaya sana  au nzuri katika ukumbi wa magereza ambapo hapo ndio ilikua maandalizi ya shoo nzuri kabisa ya zanziba stazi,sikua nyuma mtoto wa maalim kataka maandalizi hayo,kama unavyoona viti ambavyo waliandaliwa washabiki wa zanzibar staz. kunabaadhi ya picha ambazo nimekuekea za wasaniii tofauti tofauti ikiwemo ya zubeda mlamali na ahmed mgeni. nilibahatika kuzungumza na ahmedi mgeni kuhusu nyimbo yake ya sitetereki,kikubwa ambacho alizungumza ahmedi nikuhusu hiyo nyimbo kwamba ndiyo nyimbo yake ya kwanza kutunga katika tasnia ya muziki huu wa taarabu,katka nyimbo hiyo yanazumzwa mengi lkn yy anasema nimaisha ambayo yamemtokea yeye mwenyewe binafsi.
Shoo ilikua nzuri kiasi, kikubwa unachotakiwa nikuwapa saport yakutosha,endelea kfungua blog ya mambo ya zenji utapata kuyajua mengi.