Tuesday, December 20, 2011

SHANGWE ZA EPIQ NATION NDANI YA VIWANJA VYA KISONGE NOMAAAAAAAAAAAAA!

Baadhi ya mashabiki wa burudani wakizidi kumiminika katika viwanja vya Kisonge, kushuhudia tamasha la EPIQ NATION lililoandaliwa na kampuni ya ZANTEL.
 Ilikuwa hapotoshi kwa kweli.
 MC Abdalla Ambua 'Dullah', akiwajibika katika tamasha hilo, huku umati wa wapenda burudani wakiwa makini kumsikiliza.
 Msanii wa Bongo Flava Mr Blue akitowa burudani katika viwanja vya Kisonge, Michenzani, katika tamasha la EPIQ NATION.
 Piga keleeeeeeeee! mikono juuuuuuuuuuuuuuuu!

Msanii Matonya akifanya vitu vyake katika jukwaa wakati wa  Tamasha la EPIQ NATION katika viwanja vya Kisonge, Michenzani, akitowa  mistari yake.
 Kamata mwizi mennnnnnnn!

Tuesday, December 6, 2011

VIJANA WAWILI WANAOKIMBIZA KIPINDI CHA MAMBO YA ZENJI KINACHOSIKIKA KILA SIKU YA JUMAPILI COCONUT FM!

 Hapa nikiwa na Best wangu wa ukweli Mamaa wa mitaani, Aisha Omar tukifurahi baada ya kumaliza majukumu ya kiofisi ndani ya kipindi cha MAMBO YA ZENI kinachorushwa kila siku za Jumapili hapa hapa mjengoni (88.2 COCONUT FM.
 Usijali ni pozzzzzzzzz tu la kawaida!
Hapa mjengoni ilikuw ni furha baada ya kumaliza kuwajibika.

Saturday, December 3, 2011

USIKU WA 'DINNER' YA ZATUC, ZANZIBAR BEACH RESORT!

 Ilikuwa ni usiku mzuri kweli kwa waliobahatika kuhudhuria katika 'dinner' iliyoandaliwa na ZATUC.
Na mimi nilikuwepo katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.
 
Na huyu naye alikuwepo! Sijui alikwenda kutafuta kitu gani?