MAMBO YA ZENJI
Saturday, December 3, 2011
USIKU WA 'DINNER' YA ZATUC, ZANZIBAR BEACH RESORT!
Ilikuwa ni usiku mzuri kweli kwa waliobahatika kuhudhuria katika 'dinner' iliyoandaliwa na ZATUC.
Na mimi nilikuwepo katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.
Na huyu naye alikuwepo! Sijui alikwenda kutafuta kitu gani?
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment