Tuesday, December 6, 2011

VIJANA WAWILI WANAOKIMBIZA KIPINDI CHA MAMBO YA ZENJI KINACHOSIKIKA KILA SIKU YA JUMAPILI COCONUT FM!

 Hapa nikiwa na Best wangu wa ukweli Mamaa wa mitaani, Aisha Omar tukifurahi baada ya kumaliza majukumu ya kiofisi ndani ya kipindi cha MAMBO YA ZENI kinachorushwa kila siku za Jumapili hapa hapa mjengoni (88.2 COCONUT FM.
 Usijali ni pozzzzzzzzz tu la kawaida!
Hapa mjengoni ilikuw ni furha baada ya kumaliza kuwajibika.

No comments:

Post a Comment