Tuesday, December 20, 2011

SHANGWE ZA EPIQ NATION NDANI YA VIWANJA VYA KISONGE NOMAAAAAAAAAAAAA!

Baadhi ya mashabiki wa burudani wakizidi kumiminika katika viwanja vya Kisonge, kushuhudia tamasha la EPIQ NATION lililoandaliwa na kampuni ya ZANTEL.
 Ilikuwa hapotoshi kwa kweli.
 MC Abdalla Ambua 'Dullah', akiwajibika katika tamasha hilo, huku umati wa wapenda burudani wakiwa makini kumsikiliza.
 Msanii wa Bongo Flava Mr Blue akitowa burudani katika viwanja vya Kisonge, Michenzani, katika tamasha la EPIQ NATION.
 Piga keleeeeeeeee! mikono juuuuuuuuuuuuuuuu!

Msanii Matonya akifanya vitu vyake katika jukwaa wakati wa  Tamasha la EPIQ NATION katika viwanja vya Kisonge, Michenzani, akitowa  mistari yake.
 Kamata mwizi mennnnnnnn!

No comments:

Post a Comment