Wednesday, July 11, 2012

KARIBUNI WAGENI WETU

Tumepokea wageni wageni 7 leo kutoka chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Zanzibar na 1 kutoka DSJ, tunafuraha kubwa ya kupata ugeni huo ambao watakuwepo kwa muda wa miezi 2 kwa ajili ya kujifunza kwa vitendo.

Katika picha ya juu kutoka kushoto ni Said Mohammed kutoka Zjmmc, Saada Khamis kutoka Zjmmc, Mastura Maulid kutoka Zjmmc, Rehema Khamis kutoka DSJ, Mwakaje Khamis kutoka Zjmmc na mwisho ni Rehema Makame kutoka Zjmmc.....endelea hapa

No comments:

Post a Comment