Thursday, June 28, 2012

UKUMBI WA TRAVENTINE JUMAPILI HIII WAKUTANA KHADIJA KOPA NA BIBIE MWANAHAWA ALI.

Malikia wa mipasho au gwiji la mipasho tanzania khadija omari kopa.

Mafahari hawa wawili bibie Mwanahawa ali mama mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni,na malkia wa mipasho Tanzaniabibie Khadija omari kopa,wanatarajia kukutana jukwaa moja ndani ya ukumbi wa traventine hotel katika kutoa burudani ya kufa mtu, ni siku ya jumapili wiki hiii tarehe mosi ya mwezi wa saba, na hapo ndipo tutakapojua nani mkali lakini kwa wewe ambae ni mshabiki wa muziki huu wa taarab  pendelea kutembelea blog hii ya mambo ya zenji utapata kujua mengi zaidi. Mashauzi classic bendi chini ya usimamizi wa thabiti abduli mkono usio igika.
Mama wa sauti ya kumtoa nyoka pangoni bibie mwanahawa ali.


No comments:

Post a Comment