Kwa mara ya mkali wa muziki wa kizazi kipya kwa commercial style Rico
Single ameamua kuzindua video ya ngoma yake mpya ya Mademu Wazuri.
Rico Single ambaye hivi sasa anafanya vizuri sana na ngoma yake ya Mama
Africa ambayo amemshirikisha mwanadada Baby J na ngoma ya Wafanyakazi
ambayo inamgusa kila mfanyakazi amefunguka kusema kuwa ameamua kuizindua
video hiyo ya Mademu wazuri live kwa mashabiki wake kabla hajaiachia
kwenye vituo vya TV.
Mademu wazuri ni bonge moja la ngoma ambalo bado hajaiachia kwenye kituo
chochote cha redio na bado hajajua lini hasa ataiachia ila kwa sababu
yuko na love ya kutosha kwa mafans wake ameamua kula nao bata kupitia
video ya ngoma hiyo.
Kwa mara ya kwanza bata.....Cont....
No comments:
Post a Comment