Tuesday, June 26, 2012

VIDEO YA MADEMU WAZURI KUZINDULIWA VUVUZELA PUB

Kwa mara ya mkali wa muziki wa kizazi kipya kwa commercial style Rico Single ameamua kuzindua video ya ngoma yake mpya ya Mademu Wazuri.
Rico Single ambaye hivi sasa anafanya vizuri sana na ngoma yake ya Mama Africa ambayo amemshirikisha mwanadada Baby J na ngoma ya Wafanyakazi ambayo inamgusa kila mfanyakazi amefunguka kusema kuwa ameamua kuizindua video hiyo ya Mademu wazuri live kwa mashabiki wake kabla hajaiachia kwenye vituo vya TV.
Mademu wazuri ni bonge moja la ngoma ambalo bado hajaiachia kwenye kituo chochote cha redio na bado hajajua lini hasa ataiachia ila kwa sababu yuko na love ya kutosha kwa mafans wake ameamua kula nao bata kupitia video ya ngoma hiyo.
Kwa mara ya kwanza bata.....Cont....

No comments:

Post a Comment