Friday, August 31, 2012

SULTAN KING ATARAJIA KUFUNGA NDOA SEPTEMBA 7

Sultan King bwana harusi mtarajiwa
Hamida Maalim akishow love na bwana harusi mtarajiwa Sultan King
Msanii anaefanya vizuri katika game la muziki wa bongo fleva Zanzibar Sultan King anatarajia kufunga ndoa ijumaa ijayo tarehe 7 mwaka huu na party inatarajiwa kufanyika Salama Hall Bwawani.

No comments:

Post a Comment