Sunday, August 5, 2012

HUYU NDIE MUME WA HUYO MWANAMKE

 
Huyu ndie mume wa huyo mwanamke ambae unaiona pichayake hapo juu, na ndie kewe wa kwanza na wamejaaliwa kuapta nae watoto wa tatu,na toka wamefunga ndoa wameisha timiza miaka mitatu lakini kwa habari ambazo nimezipata kutoka kwenye blog ya dina,nikwamba maisha yao sio mazuri sana,maisha ya mama huyu yamekua ya misukosukona huyu mumewe,mara kapigwa mara kachanwa na viwembe, kuna baadhi ya siku bibi huyu na mumewe,walitofautiana kiswahili kidogo baada ya mumewe kuoa mke wa pili,kilichofuata hapo mume kuelemea kwa mke mpya,kuna siku mke huyo wa kwanza akiwa na shogaake akitembeatembea,mara akatokea mumewe akiwa na gari anaendesha,mume akamwambia mkewe asimame anamazungumzonae,mke akamjibu kwamba siwezi kusimama,hapo ndipo mume akaona bora amvamie kwa gari na kumburuza kwa umbali wa kama mita 150 mpaka alipo fika kwenye tuta ndipo akachomoka na mume kukimbia,kiukweli aliumia sana, alichukuliwa na kukimbizwa hopitalini,maumivu yalikua makali sana kwani aliumia ndani kwa ndani naalivunjia mbavu 7,jitihada zilifanyika lakini ilishindikana kwani aliumia sana,innalilah wa innailaihi rajunna mwanamke huyo amefaiki dunia,wanaume wenye roho hii wanatakiwa kuchukuliwa hatia.

No comments:

Post a Comment