Friday, August 10, 2012

h
Leo tukiwa katika kipindi cha nipenikupe ikiwa ni  ramadhani  ya 21 nikiwa mimi Hamida maalim pamoja na thuwaiba jamal,tunajua kwamba huu ni mwezi mtukufu wa ramadhani , kikubwa ambacho tulikizungumzia ni jinsi gani binaadam anatakiwa kuepukana na mambo ambayo yanabatilisha funga yake. pia tulikuwa na ustadhi Muhammed haji akifafanua  kiundani jinsi gani mtu anaweza kuilinda funga yake ili isiweze kubatilika katika nyanja tofauti tofauti kwa mwezi huu mtukufu wa ramadhani,pia shekhe alisisitiza  kwawale ambao wanadhani kua ramadhani ni mchana tu  kwa mujibu wa dini ya kiisilam  huwa wanakosea ,kupitia maelezo ya sheikh huyo tumepata kujifunza mengi ndani ya siku hii ya leo,

No comments:

Post a Comment