Friday, August 10, 2012
Leo tukiwa katika kipindi cha nipenikupe ikiwa ni ramadhani ya 21 nikiwa mimi Hamida maalim pamoja na thuwaiba jamal,tunajua kwamba huu ni mwezi mtukufu wa ramadhani , kikubwa ambacho tulikizungumzia ni jinsi gani binaadam anatakiwa kuepukana na mambo ambayo yanabatilisha funga yake. pia tulikuwa na ustadhi Muhammed haji akifafanua kiundani jinsi gani mtu anaweza kuilinda funga yake ili isiweze kubatilika katika nyanja tofauti tofauti kwa mwezi huu mtukufu wa ramadhani,pia shekhe alisisitiza kwawale ambao wanadhani kua ramadhani ni mchana tu kwa mujibu wa dini ya kiisilam huwa wanakosea ,kupitia maelezo ya sheikh huyo tumepata kujifunza mengi ndani ya siku hii ya leo,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment