Monday, November 12, 2012

MARIAMU KHAMISI AFARIKI DUNIA.


MWIMBAJI wa nyota wa taarabu nchini Mariamu khamisi ametutoka dunia usiku wa kuamkia leo,taarifa ambazo nilizipata kupitia kwa msanii mwenzie thabit abduli nikwamba mariamu amefariki uzazi katika hospitali ya muhimbili jijini daa es salam, na pia nilibahatika kupata taarifa kupitia kwa shogaake mpenzi ambae anaitwa Suhaiya khasani  yeye ni rafiki ake wa karibu sana na baada ya Mariamu kuumwa uchungu waliongozana wote na kwenda hospitali ya BALISINA walipo fika madokta wakamwambia njia ni ndogo aende hospitali yaMWANANYAMARA na hapo walipo fika pia madokta waka mwambia aende hospitali ya MUHIMBILI huko ndiko alipo patwa na umauti baada ya kufanyia operesheni na kujaaliwa kupata mtoto wa kike na nayeye kutokuamka kabisa, Marimu khamisi kabla ya kua katika kundi la TOTI alikua akiimbia kundi la FIVE STAA,aliwahi kuimba nyimbo nyngi,ULIWEZI BIFU <SIDHURIKI NA LAWAMA NK.
Baada ya kijiunga na kundi la TOT yalisemwa mengi sana juu yake lkn yeye mwenyewe kumbwa alilo sema'nanukuu " hajapotea njia na ameamua kwa hiyari yake mwenyewe na hajashawishiwa,na lengo la kuhamia huko ni kwaajili ya maslhi na kijitafutia maish,katika picha ambayo unaiona hapo juu mariamu ni wa kwanza kabisa,duniani tumekuja kutembe tu kila mtu ataonja mauti INNALILAHI WAINNA IAIHI RAJGHUUN>

No comments:

Post a Comment