Mwanadada Queen Darleen aachia Ngoma Mpya inaitwa
KOKORO......Imefanywa Na Producer Tuddy Thomas.....Video Inafanywa Wiki
Hii Na Adam Juma (Visual Lab Next Level)
Hii Ni Ngoma Yake Ya 5 Tokea
Ameanza Kufanya Mziki Mwaka 2000 Ya Kwanza Ilikuwa Wajua Ft. Alikiba,
Ya Pili Ilikuwa Cheza Nami Ft. Kgt, Ya 3 Ilikuwa Ilikuwa Kupendapenda
Ft. Sho daddy, Ya 4 Ilikuwa Maneno Maneno Ft. Dully Sykes Na Ilifanikiwa
Kuchukua Tuzo Ya Best Dancehall/Ragga Kupitia Kili Awardz 2011-2012 Na
Kokoro Ndio Single Ya 5.
No comments:
Post a Comment