Friday, October 19, 2012

MZIGO MPYA AACHIA QUEEN DARLEEN

Mwanadada Queen Darleen aachia Ngoma Mpya inaitwa KOKORO......Imefanywa Na Producer Tuddy Thomas.....Video Inafanywa Wiki Hii Na Adam Juma (Visual Lab Next Level)
Hii Ni Ngoma Yake Ya 5 Tokea Ameanza Kufanya Mziki Mwaka 2000 Ya Kwanza Ilikuwa Wajua Ft. Alikiba, Ya Pili Ilikuwa Cheza Nami Ft. Kgt, Ya 3 Ilikuwa Ilikuwa Kupendapenda Ft. Sho daddy, Ya 4 Ilikuwa Maneno Maneno Ft. Dully Sykes Na Ilifanikiwa Kuchukua Tuzo Ya Best Dancehall/Ragga Kupitia Kili Awardz 2011-2012 Na Kokoro Ndio Single Ya 5.

No comments:

Post a Comment